Ads 468x60px


Utalingolo,njombe,tanzania.

Monday, January 13, 2014

UJENZI WA MADARASA YA SHULE YA MSINGI UTALINGOLO WAPAMBA MOTO


Anayeonekana hapo ni Mh.Coleta Nyigu,diwani wa viti maalum Tarafa ya Igominyi ambaye alifika kutembelea na kukagua shughuli za ujenzi wa vyumba vya madarasa.Kimsingi Mheshimiwa huyu amesoma shule hii !




Huyu ni Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Utalingolo Ndg.Chao


Huyu ni ndg Deusdedit Ngole(Hamis) mjumbe wa serikali ya kijiji cha Mfereke yupo katika shughuli za kusimamia ujenzi wa zahanati ya Mfereke.


Huyu ni Ndg.Alex Ngole ambaye ni Mwenyekiti wa Kijiji cha Mfereke.Yupo kikazi zaidi.Yeye ana Maneno kidogo Kazi Zaidi !

0 comments:

Post a Comment