Ads 468x60px


Utalingolo,njombe,tanzania.

Wednesday, March 26, 2014

ZAHANATI YA UTALINGOLO KATIKA UKARABATI


Wananchi kwa kushirikiana na serikali wamefaulu kujenga zahanati hii na ni matarajio yao mwaka huu 2014 itakuwa imekamilika na kuanza kutumika.Wote walioshiriki kwa namna ile au nyingine wanapewa nafasi kuwa ya kupewa shukrani za pekee kwani wamefanya utekelezaji wa ilani ya ccm ya kuwafikia wananchi wake kwa kuanzisha programu ya MMAM (Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi).Kwa kuzingatia hilo serikali  katika zahanati hii imetoa vifaa vya umaliziaji vyenye thamani ya Tshs.10,000,000.00 (milioni kumi tu).Serikali ishukuriwe katika hili !

0 comments:

Post a Comment