Ads 468x60px


Utalingolo,njombe,tanzania.

Wednesday, March 26, 2014

MRADI WA MAJI LUGENGE-KISILO-UTALINGOLO WAIVA


HILI HAPA NI BANGO LA MRADI






Tanki hili limejengwa katika kijiji cha Lugenge ambako mradi unampita kutoka Ludodolelo.katika picha ni;Kushoto ni Afisa Mtendaji wa Kata ya Utalingolo Bw.Stanley Mgohele.Katikati ni:Mwenyekiti wa Kijiji cha Utalingolo Bw.Dominikus Njawike.Anayefuata ni Isaya Msigwa ambaye ni mjumbe wa Kamati ya Maji Kijiji cha Utalingolo.Wote hawa walikuja hapo siku ya ziara ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mh.Asery Msangi.



Huyu mama anaitwa Christina Mbena ambaye ni mjumbe wa kamati ya maji ya kijiji cha Utalingolo.Alikuwa hapo siku ya ziara ya mkuu wa mkoa wa Njombe Mh.Asery Msangi
Kutoka kushoto ni Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Utalingolo ndg.Nolasco Mlyuka,Mwenyekiti wa kijiji cha Utalingolo ndg.Dominikus Njawike,Christina Mbena,Isaya Msigwa,Afisa Mtendaji wa Kata Ndg.Mgohele na Mh.Bonaventura Fwalo Diwani wa Kata ya Utalingolo.Hawa wote walikuja kushiriki ziara ya mkuu wa mkoa wa njombe mh.Asery Msangi

0 comments:

Post a Comment