Ads 468x60px


Utalingolo,njombe,tanzania.

Wednesday, March 26, 2014

BARABARA YA NZENGELENDETE-UTALINGOLO KUFANYIWA MATENGENEZO MAALUM


Halmashauri ya Mji wa Njombe inatarajia kuifanyia matengenezo maalum barabara hii kwa kiwango cha kifusi barabara yote(FULL GRAVEL) katika fedha zilizotengwa katika bajeti ya mwaka 2013/2014 kiasi cha tshs.250,000,000.00(milioni mia mbili na hamsini tu).Barabara itakuwa na ubora mkubwa.Wananchi watapata fursa ya kufanya biashara na huduma zingine vizuri na kwa wakati.........................!!!!!!!!

0 comments:

Post a Comment