Ads 468x60px


Utalingolo,njombe,tanzania.

Monday, March 31, 2014

UJENZI SEKONDARI YA UTALINGOLO WAANZA RASMI LEO

 Kutoka kushoto ni Berhard Mligo Mjumbe wa kamati ya ujenzi sekondari,Seraphine Msemwa ambaye nii fundi toka kampuni ya Matokeo,Paternus Mligo(Pulundu) ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ujenzi,Angelus Fungiwa Makamu Sekondari ya Uwemba,Abbas Sanga Mkuu wa Sekondari Uwemba na mhasibu wa Utalingolo Sekondari,Anold Mwanyika Architect,Eng.John Kawogo Kaimu Mhandisi Halmashauri Mji Njombe na Mh.Bonaventura Fwalo Diwani wa Kata ya Utalingolo
 Kazi ya upimaji inaendelea kama wahusika wanavyoonekana................!
 Hawa ni Ndg.Paternus Mligo na Angelus Fungilwa
Kushoto ni Mkuu wa Sekondari ya Uwemba ambaye ndiye msimamizi na mhasibu wa sekondari ya Utalingolo akiwa anaangalia vipimo kama vinakwenda sawa.Katikati ni Ndg Anold E.Mwanyika .Anayefuatia ni Ndg.Abbas SangaMakamu Mkuu wa Sekondari ya Uwemba ambaye alimsindikiza mkuu wake.Wa mwisho kulia ni Eng.John Kawogo Kaimu Mhandisi wa Halmashauri ya Mji wa Njombe ambaye alikuja kutoa maelekezo ya kitaalamu kwa mafundi ili kazi ziweze kuanza rasmi.

0 comments:

Post a Comment